Willard Boyle

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

'

Willard Boyle
Willard Boyle
Amezaliwa19 Agosti, 1924
Amefariki7 Mei, 2011
Kazi yakemwanafizikia kutoka nchi ya Kanada


Willard Sterling Boyle (19 Agosti, 1924 - 7 Mei, 2011) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Kanada aliyepata uraia wa Marekani pia. Hasa amechunguza vipitishi vya umeme. Mwaka wa 2009, pamoja na Charles Kao na George E. Smith, alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Willard Boyle
Makala hii kuhusu mshindi wa Tuzo ya Nobel bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Willard Boyle kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.