Wilaya ya Mtama

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Wilaya ya Lindi Vijijini)
Mahali pa Lindi Vijijini (kijani) katika mkoa wa Lindi.

Wilaya ya Mtama ni wilaya moja ya Mkoa wa Lindi. Hadi maka 2019 iliitwa Lindi Vijijini[1]. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 215,764 [2]. Misimbo ya posta huanza kwa namba 652.[3].

Mwaka 2019 rais Magufuli aliagiza makao makuu yajengwe Mtama na wilaya iitwe pia Mtama[4].

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. President promises to improve southern regions’ infrastructures, Guardian 17.10.2019
  2. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2003-12-17. Iliwekwa mnamo 2003-12-17. 
  3. https://www.tcra.go.tz/images/documents/postcode/lindi.pdf[dead link]
  4. Magufuli amaliza mgogoro wa Lindi Vijijini Archived 22 Oktoba 2020 at the Wayback Machine., tovuti ya Habarileo tar. 16.10.2019, iliangaliwa Agosti 2020
Kata za Wilaya ya Mtama - Tanzania

Chiponda | Kiwalala | Longa | Majengo | Mandwanga | Mnara | Mnolela | Mtama | Mtua | Mtumbya | Nachunyu | Nahukahuka | Namangale | Namupa | Navanga | Nyangamara | Nyangao | Nyengedi | Pangatena | Sudi


Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Lindi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Mtama kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno.