Wafiadini wa Afrika (6 Januari)
Mandhari
Wafiadini wa Afrika (6 Januari) (walifariki 210 hivi) waliuawa kwa ajili ya imani ya Kikristo wakati wa dhuluma ya kaisari Septimus Severus kwa kuchomwa moto[1].
Tangu kale wanaheshimiwa kama watakatifu wafiadini.