Vincent Uhega
Mandhari
Vincent Lamwaka Uhega (alizaliwa mkoa wa Dar es Salaam, 8 Agosti 1988) ni mwanzilishi wa asasi isiyo ya kiserikali ya Voice Of Youth Tanzania yenye makao yake makuu katika eneo la Usa River, wilaya ya Arumeru mkoa wa Arusha.
Ni balozi wa asasi maarufu ya Oya opportunity inayoshughulika na masuala ya fursa mbalimbali duniani [1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii kuhusu wasifu wa Mtanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |