Uwanja wa michezo wa Stade Lamine Guèye

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Stade Lamine Guèye ni uwanja wa shughuli mbalimbali za michezo huko Kaolack nchini Senegal. Hutumika zaidi katika mchezo wa mpira wa miguu na hutumika kama uwanja wa nyumbani wa timu ya ASC Saloum. Uwanja huo una uwezo wa kuhimili watu 8,000. Mnamo mwaka 2008, moja ya mechi mbili za bara zilifanyika kwenye uwanja huo.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu zaidi kuhusu Uwanja wa michezo wa Stade Lamine Guèye kama historia yake, uenezi au kanuni zake?
Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.