Utafutatuzi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Utafutatuzi (kutoka vitenzi vya Kibantu kutafuta na kutatua; kwa Kiingereza: troubleshooting) ni namna ya kusuluhisha matatizo inayotumika katika utarakilishi. Lengo la utafutatuzi ni kufanya utafutaji kwa utaratibu wa matatizo.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1)
Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.