Uprogramishaji kiviumbile

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Masomo kuhusu uprogramishaji kiviumbile.

Katika utarakilishi, uprogramishaji kiviumbile (kwa Kiingereza: object-oriented programming) ni aina ya uprogramishaji ambapo programu zinaumbwa na kuzingatia kuhusu viumbile (vipengele vya lugha za programu).

Kwa mfano, uprogamishaji kiviumbile unatumika kwenye lugha za programu kama Python au JavaScript.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Kiputiputi, O. (2011). Kamusi sanifu ya kompyuta. Taasisi ya Taaluma za Kiswahili, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, K.602.
Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.