Uprogramishaji kiviumbile
Katika utarakilishi, uprogramishaji kiviumbile (kwa Kiingereza: object-oriented programming) ni aina ya uprogramishaji ambapo programu zinaumbwa na kuzingatia kuhusu viumbile (vipengele vya lugha za programu).
Kwa mfano, uprogamishaji kiviumbile unatumika kwenye lugha za programu kama Python au JavaScript.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- Kiputiputi, O. (2011). Kamusi sanifu ya kompyuta. Taasisi ya Taaluma za Kiswahili, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, K.602.