Uprogramishaji kikadhia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Masomo kuhusu uprogramishaji kikadhia.

Katika utarakilishi, uprogramishaji kikadhia (kwa Kiingereza: functional programming) ni aina ya uprogramishaji ambapo programu zinaumbwa na kutunga na kutekeleza kadhia.

Kwa mfano, uprogamishaji kikadhia unatumika kwenye lugha za programu kama Haskell au PHP.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Kiputiputi, O. (2011). Kamusi sanifu ya kompyuta. Taasisi ya Taaluma za Kiswahili, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, K.602.