Uprogramishaji kikadhia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Masomo kuhusu uprogramishaji kikadhia.

Katika utarakilishi, uprogramishaji kikadhia (kwa Kiingereza: functional programming) ni aina ya uprogramishaji ambapo programu zinaumbwa na kutunga na kutekeleza kadhia.

Kwa mfano, uprogamishaji kikadhia unatumika kwenye lugha za programu kama Haskell au PHP.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Kiputiputi, O. (2011). Kamusi sanifu ya kompyuta. Taasisi ya Taaluma za Kiswahili, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, K.602.
Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.