Uchaguzi wa Rais wa Marekani, 2016
Mandhari

Uchaguzi wa Rais wa Marekani, mwaka 2016 ulikuwa wa 58 katika historia ya Marekani. Ulifanywa Jumanne tarehe 8 Novemba.
Upande wa "Republican Party", mgombea Donald Trump (pamoja na kaimu wake Mike Pence) alimshinda mgombea wa "Democratic Party" Hillary Clinton (pamoja na kaimu wake Tim Kaine).
Matokeo
[hariri | hariri chanzo]Wachaguzi wakuu walipiga kura tarehe 19 Desemba na kuthibitisha nafasi ya Trump kama Rais wa Marekani kwa miaka 2017-2020. Trump alipata wapiga kura 304, na Clinton 227, wakati wachaguzi wakuu wengine saba walikuwa upande wa watu wasiogombea.
![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |