Uchaguzi wa Rais wa Marekani, 2012

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Uchaguzi wa Rais wa Marekani, mwaka wa 2012 ulikuwa wa 57 katika historia ya Marekani. Ukafanywa Jumanne tarehe 6 Novemba. Upande wa "Democratic Party", Rais Barack Obama (pamoja na kaimu wake Joe Biden) alimshinda mgombea wa "Republican Party" Mitt Romney (pamoja na kaimu wake Paul Ryan).

Matokeo[hariri | hariri chanzo]

Obama akapata kura 332, na Romney 206. Ramani yaonyesha kura kwa kila jimbo.