Nenda kwa yaliyomo

Uchaguzi wa Rais wa Marekani, 2000

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ramani ya Marekani ikionyesha matokeo ya uchaguzi jimbo kwa jimbo.

Uchaguzi wa Rais wa Marekani, 2000 ulikuwa wa 54 katika historia ya Marekani. Ulifanywa Jumanne tarehe 7 Novemba 2000.

Upande wa "Republican Party", mgombea George W. Bush (pamoja na kaimu wake Dick Cheney) alimshinda mgombea wa "Democratic Party" Al Gore (pamoja na kaimu wake Joseph Lieberman). Bush alipata kura 271, na Gore 266.

Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Uchaguzi wa Rais wa Marekani, 2000 Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.