Nenda kwa yaliyomo

Uchaguzi wa Rais wa Marekani, 1936

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Uchaguzi wa Rais wa Marekani, mwaka wa 1936 ulikuwa wa 38 katika historia ya Marekani. Ukafanywa Jumanne tarehe 3 Novemba. Upande wa "Democratic Party", Rais Franklin D. Roosevelt (pamoja na kaimu wake John Nance Garner) alimshinda mgombea wa "Republican Party" Alf Landon (pamoja na kaimu wake Frank Knox).

Roosevelt akapata kura 523 na Landon nane tu. Ramani yaonyesha kura kwa kila jimbo.

Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Uchaguzi wa Rais wa Marekani, 1936 Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.