Uchaguzi wa Rais wa Marekani, 1932
Uchaguzi wa Rais wa Marekani, mwaka wa 1932 ulikuwa wa 37 katika historia ya Marekani. Ukafanywa Jumanne tarehe 8 Novemba. Upande wa "Democratic Party", mgombea Franklin D. Roosevelt (pamoja na kaimu wake John Nance Garner) alimshinda mgombea wa "Republican Party" Rais Herbert Hoover (pamoja na kaimu wake Charles Curtis).
Matokeo[hariri | hariri chanzo]
Roosevelt akapata kura 472 na Hoover 59. Ramani yaonyesha kura kwa kila jimbo.
![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |