Ticino

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lugano, Uswisi.
Mahali pa Ticino katika Uswisi.
Bendera ya jimbo.
Bendera ya jimbo.

Ticino ni moja ya majimbo yanayounda shirikisho la Uswisi.

Mji mkuu wake ni Bellinzona.

Wakazi wengi wanaongea Kiitalia na ni wafuasi wa Yesu Kristo katika Kanisa Katoliki.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]


Makala hii kuhusu maeneo ya Uswisi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Ticino kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.