Nenda kwa yaliyomo

The Woman's World

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

The Woman's World ni jarida la wanawake la Kipindi cha malkia Viktoria lililochapishwa na Cassell kati ya mwaka 1886 na [1]1890.

Oscar Wilde alikuwa mhariri wake kati ya mwaka 1887 na 1889, na Ella Hepworth Dixon kuanzia mwaka 1888.[onesha uthibitisho]

  1. (Clayworth, 1997:85)

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
  • media kuhusu The Woman's World pa Wikimedia Commons
  • Wilde, Oscar (1887). The Woman's World, 1897–1890. Juz. 3 vols. London: Cassell & Co. ku. 3 v.