Tauranga

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tauranga / Tauranga-moana
Mt Maunganui 2006.jpg
Mji wa Tauranga (New Zealand)
Habari za kimsingi
Mkoa Bay of Plenty
Anwani ya kijiografia Latitudo: 37°41′0″ - Longitudo: 176°10′0″E
Eneo 168 km²
Wakazi 114,300 (mji pekee)
120,000 (pamoja na rundiko)
Msongamano wa watu watu 680.4 (mji pekee) kwa km²
Simu +64 (nchi), 07 (mji)
Mahali
Taurangamoana.png

Tauranga (kwa Kimaori: Tauranga-moana) ni mji wa New Zealand wenye wakazi 143,000 (2010). Uko upande wa kaskazini wa funguvisiwa. Eneo lake ni km² 98. Mji ulianzishwa mwaka 1838.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Sciences de la terre.svg Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.