Takamatsu, Kagawa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mji wa Takamatsu








Takamatsu
Faili:Flag of .png
Bendera
Nchi Japani
Kanda Shikoku
Mkoa Kagawa
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 418 492
Tovuti:  www.takamatsu.kagawa.jp

Takamatsu (高松市) ndiyo mji mkuu katika mkoa wa Kagawa. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2009, mji una wakazi wapatao 420,000 wanaoishi katika mji huu.

Makala hii kuhusu maeneo ya Japani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Takamatsu, Kagawa kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.