Taji la Kipapa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Taji la kipapa)
Papa Inosenti III (1198–1216) akiwa amevaa taji alivyochorwa ukutani katika monasteri ya Mt. Benedikto huko Subiaco, 1219 hivi.

Taji la Kipapa lilikuwa kofia iliyovaliwa na Mapapa wengi hadi mwaka 1964[1]. Hapo katikati ilizidi kupambwa na dhahabu na vito kwa mfano na taji la mfalme[2][3].

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu Kanisa Katoliki bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Taji la Kipapa kama historia yake au maelezo zaidi?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.