Tachlowini Gabriyesos

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tachlowini Gabriyesos baada ya mbio za marathoni za Michezo ya Olimpiki ya Tokyo 2020 huko Sapporo
Tachlowini Gabriyesos baada ya mbio za marathoni za Michezo ya Olimpiki ya Tokyo 2020 huko Sapporo

Tachlowini Gabriyesos (alizaliwa 1 Januari 1998) ni mzaliwa wa Eritrea na mwanariadha wa Mbio ya Marathoni.[1] Mnamo Machi 2021 katika mbio zake za pili za ushindani za marathon alikimbia wakati wa kufuzu kwa Olimpiki. Alichaguliwa kama mmoja wa wanariadha 29 katika taaluma 12 kuwakilisha timu ya wakimbizi ya Olimpiki katika Olimpiki ya Tokyo 2020. [2][3] Alitunukiwa heshima ya kuwa mshika bendera wa timu ya Wakimbizi katika sherehe ya ufunguzi.[4]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tachlowini GABRIYESOS | Profile | World Athletics. worldathletics.org. Iliwekwa mnamo 2021-10-27.
  2. Tokyo 2020 - The Refugee Olympic Team will have 29 athletes over 12 different sports in Japan (en). Eurosport UK (2021-06-08). Iliwekwa mnamo 2021-10-27.
  3. IOC names 29-strong Olympic Refugee Team for Tokyo 2020. www.insidethegames.biz (1623150780). Iliwekwa mnamo 2021-10-27.
  4. Athletics flag bearers help to light up Olympic Opening Ceremony in Tokyo | FEATURES | World Athletics. www.worldathletics.org. Iliwekwa mnamo 2021-10-27.