Nenda kwa yaliyomo

Sveindís Jane Jónsdóttir

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sveindís Jane Jónsdóttir

Sveindís Jane Jónsdóttir (alizaliwa 5 Juni 2001) ni mchezaji wa mpira wa miguu katika klabu ya wanawake ya VfL Wolfsburg kwenye ligi ya Frauen-Bundesliga nchini Ujerumani. [1] Alijiunga na timu ya taifa ya Iceland mwaka 2020. Mnamo mwaka 2021 alichaguliwa kuwa mchezaji bora wa kike wa mwaka.


  1. Runólfur Trausti Þórhallsson (29 Desemba 2020). "Ánægð með að fara á lán til Svíþjóðar fyrst og stefnir á að vera best í heimi". Vísir.is (kwa Icelandic). Iliwekwa mnamo 29 Desemba 2020.{{cite news}}: CS1 maint: date auto-translated (link) CS1 maint: unrecognized language (link)
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Sveindís Jane Jónsdóttir kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.