Susann Beucke

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Susann Beucke (alizaliwa 11 Juni 1991) ni baharia Mjerumani ambaye anashindana katika kitengo cha 49er FX.[1] Pamoja na Tina Lutz, alishinda medali ya dhahabu katika mashindano ya ubingwa wa Ulaya ya 2017 na 2020 49er & 49er FX.[2] Katika jaribio lao la tatu, Beucke na Lutz walifuzu kuwakilisha Ujerumani kwenye michezo ya Olimpiki ya majira ya joto ya 2020 huko Tokyo, ambapo walishinda medali ya Fedha. Yamekuwa matokeo bora zaidi kwa  Ujerumani tangu miaka 21 iliyopita.[3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Susann BEUCKE". Olympics.com. Iliwekwa mnamo 2021-12-03. 
  2. "Sailor Biography". sailing.org (kwa Kiingereza). Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2021-12-03. Iliwekwa mnamo 2021-12-03. 
  3. "Zwei Titel für die Segelnationalmannschaft, Lutz/Beucke vor Olympia-Premiere". German Sailing Team (kwa de-DE). 2020-09-13. Iliwekwa mnamo 2021-12-03.