Stella Ahono

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Stella Ahono ni mchezaji wa mpira wa miguu wa Kenya ambaye anacheza kama golikipa wa Zetech Sparks FC na timu ya taifa ya wanawake ya Kenya.

Maisha ya Awali[hariri | hariri chanzo]

Ahono ni mzawa wa kata ya  Kakamega.[1]

Kazi Kimataifa[hariri | hariri chanzo]

Ahono alichezea Kenya katika kiwango cha juu wakati wa Kombe la Wanawake la Uturuki la 2020.[2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Stella Ahono". Chapa Dimba (kwa en-US). 2020-03-24. Iliwekwa mnamo 2022-03-05. 
  2. F. K. F. Communications (2020-03-10). "Harambee Starlets fall to Ghana in Turkish Women's Cup". Football Kenya Federation (kwa en-US). Iliwekwa mnamo 2022-03-05. 
Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu zaidi kuhusu Stella Ahono kama historia yake, uenezi au kanuni zake?
Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.