Stanislao Cannizzaro

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Stanislao Cannizzaro

Stanislao Cannizzaro FRS (13 Julai 1826 - 10 Mei 1910) alikuwa mtaalamu wa kemia kutoka Italia.

Anakumbukwa leo kwa kiasi kikubwa kwa mmenyuko wa Cannizzaro na kwa jukumu lake kubwa katika maamuzi ya uzito wa atomi ya Congress ya Karlsruhe mwaka wa 1860.

Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Stanislao Cannizzaro kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.