St Elizabeth Hospital
St Elizabeth Hospital ni hospitali inayomilikiwa na kuendeshwa na Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Arusha.
Ilianzishwa mwaka 1974 kama zahanati na kufanywa kuwa hospitali mwaka 1984 [1]
Hospitali hiyo inapatikana katikati mwa jiji la Arusha ikiwa ni hospitali ya tatu kwa ukubwa katika mkoa wa Arusha.[2]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ ST. ELIZABETH HOSPITAL ARUSHA. www.seha.or.tz. Jalada kutoka ya awali juu ya 2018-11-12. Iliwekwa mnamo 2020-03-07.
- ↑ https://listfy.co.tz/listing/st-elizabeth-hospital/[dead link]
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |