Sonia Mugabo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Sonia Mugabo ni mfanyabiashara nchini Rwanda, mbunifu wa mitindo na mwanamitindo.Yeye ndiye mwanzilishi na afisa mtendaji wa kampuni ya nguo iliyopewa jina lake Sonia Mugabo.[1][2]

Maisha na Elimu[hariri | hariri chanzo]

Alizaliwa Kigali[3],Mei 5 1990.[2]katika mahojiano na Forbes Africa yaliyofanyika mnamo mwaka 2015 Mugabo alisema alikua na umri wa Miaka minne wakati wa mauaji ya Kimbari yaliyofanyika mnamo mwaka 1994 dhidi ya Rwanda na Watitus.[4]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. LOAC (30 March 2016). "Sonia Mugabo - The startup story of a fashion entrepreneur in Rwanda, building a strong men and womenswear brand that celebrates local artisan craftsmanship". Lionessesofafrica.com (LOAC). Iliwekwa mnamo 2 November 2017.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  2. 2.0 2.1 Nsehe, Mfonobong (13 March 2017). "30 Most Promising Young Entrepreneurs In Africa 2017". Forbes.com. Iliwekwa mnamo 2 November 2017.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  3. Theos, Uwiduhaye. "Ubuhamya bwa Sonia Mugabo warwaye agahinda gakabije agashaka no kwiyahura biturutse ku bikomere bya Jenoside". abantu (kwa Kinyarwanda). Iliwekwa mnamo 2021-09-10. [dead link]
  4. Guttman, Amy (31 August 2015). "From Genocide To Gen Y: The Rise Of Rwanda's Creatives". Forbes.com. Iliwekwa mnamo 2 November 2017.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)