Silla

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Historia ya Korea

Silla (57 KK – 935 BK) (Tamka ɕilla) ilikuwa moja kati ya Falme Tatu za Korea, na moja kati ya nasaba iliokaa kwa muda mrefu sana katika historia ya Asia. Japokuwa ilianzishwa na Mfalme Park Hyeokgeose, ambaye anafahamika kama mwanzilishi wa famili ya Kikorea yenye jina la Park (박, 朴). Ukoo huu ulishikiria madaraka kwa takriban miaka yake 992 katika historia. Imeanza kama mtemi wa falme ndogo huko Samhan, pindi ilipoungana na China, Silla hatimaye ikaishinda falme mbili, Baekje mnamo 660 na Goguryeo mnamo 668. Baada ya hapo, ikawa Muungano wa Silla au Silla ya Baadaye, kama jinsi inavyotajwa mara nyingi kwa kuchukua sehemu ya Peninsula ya Korea, wakati sehemu ya kaskazini imeungana kama Balhae, nchi iliokuja kurithiwa na Goguryeo. Baada ya karibuni miaka 1000 ya utawala, Silla ikajivua kidogo na kuwa Falme Tatu za Baadaye, na kukabidhi mamlaka yake kwa mrithi wake wa nasaba ya Goryeo mnamo 935.[1]

天汉年间东北亚局势

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. http://www.shilla.or.kr/shilla_culture/ Archived 21 Machi 2008 at the Wayback Machine. Retrieved on 2008-03-08

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Ufalme wa Korea
Silla
(Kabla-Muungano)
  1. Hyeokgeose 57 BCE-4 CE
  2. Namhae 4-24
  3. Yuri 24-57
  4. Talhae 57-80
  5. Pasa 80-112
  6. Jima 112-134
  7. Ilseong 134-154
  8. Adalla 154-184
  9. Beolhyu 184-196
  10. Naehae 196-230
  11. Jobun 230-247
  12. Cheomhae 247-261
  13. Michu 262-284
  14. Yurye 284-298
  15. Girim 298-310
  16. Heulhae 310-356
  17. Naemul 356-402
  18. Silseong 402-417
  19. Nulji 417-458
  20. Jabi 458-479
  21. Soji 479-500
  22. Jijeung 500-514
  23. Beopheung 514-540
  24. Jinheung 540-576
  25. Jinji 576-579
  26. Jinpyeong 579-632
  27. Seondeok 632-647
  28. Jindeok 647-654
  29. Muyeol 654-661