Sile-maua

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sile-maua
Sile-maua wa Afrika
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Aves (Ndege)
Oda: Charadriiformes (Ndege kama vitwitwi)
Familia: Jacanidae (Ndege walio na mnasaba na sile-maua)
Jenasi: Actophilornis Oberholser, 1925

Hydrophasianus Wagler, 1832
Irediparra Mathews, 1911
Jacana Brisson, 1760
Metopidius Wagler, 1832
Microparra Cabanis, 1877

Sile-maua ni ndege wa familia ya Jacanidae. Ndege hawa wana vidole virefu ili kutembea juu ya majani ya myungiyungi na majani mengine yanayoelea. Wana kigao kidogo juu ya domo, isipokuwa sile-maua mdogo. Manyoya ya jinsia ni sawa, lakini jike anaweza kuwa mkubwa kidogo kuliko dume na kuanzisha ubembelezi; yule wa spishi nyingine (hususa Jacana spinosa) hukanyagwa na madume kadhaa. Dume huatamia na kutunza makinda. Sile-maua hula wadudu kwa majani na juu ya maji.

Spishi za Afrika[hariri | hariri chanzo]

Spishi za mabara mengine[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]