Shafiqa Ziaie
Shafiqa Ziaie (aliwa 1928)ni msomi wa Afghanistan na mjumbe wa baraza la mawazili[1]. Alikua ni miongoni mwa kizazi cha wanawake walio pata nyadhifa za umma huko Afghanistan baada ya mageuzi ya Mohammed Daoud Khan
Marejeo.[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Download Limit Exceeded. citeseerx.ist.psu.edu. Iliwekwa mnamo 2022-03-20.