Sezen Aksu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sezen Aksu

Maelezo ya awali
Jina la kuzaliwa Fatma Sezen Yıldırım
Amezaliwa 13 Julai 1954 (1954-07-13) (umri 69)
Asili yake Sarayköy, Uturuki
Aina ya muziki Pop
Kazi yake Mwimbaji
Mtunzi
Miaka ya kazi 1975–hadi leo
Tovuti Tovuti Rasmi

Sezen Aksu (amezaliwa kama Fatma Sezen Yıldırım; Denizli, 13 Julai 1954) ni mwimbaji wa muziki wa pop, mtunzi wa nyimbo na mtayarishaji wa rekodi za muziki kutoka nchi Uturuki. Ni maarufu sana nchini humo na nje ya nchi ya Uturuki. Aksu amepata kuuza nakala za albamu zake zaidi ya milioni 40. Aksu pia humwita "Malkia wa Pop wa Uturuki".

Aksu pia huwa anatoa msaada kwa wasanii wengine wa muziki kwa kutunga nyimbo pamoja na kisha kuziimba pamoja nao. Alishawahi kufanya kazi na mwimbaji mwingine wa Kituruki Bw. Tarkan.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu muziki wa Ulaya bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Sezen Aksu kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.