Semi Ajayi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Oluwasemilogo Adesewo Ibidapo "Semi" Ajayi (amezaliwa 9 Novemba 1993) ni mchezaji wa soka wa Nigeria anayecheza kama beki au kiungo wa kati wa klabu ya West Bromwich Albion na timu ya taifa ya Nigeria.[1]

Mafanikio[hariri | hariri chanzo]

Rotherham United

  • EFL League One play-offs: 2018[2]
  • EFL Championship Player of the Month: Machi 2019

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Semi Ayaji: Eurosport". Eurosport.com. 
  2. Scott, Ged (27 Mei 2018), Rotherham United 2–1 Shrewsbury Town, BBC Sport, https://www.bbc.co.uk/sport/football/44186999, retrieved 27 Mei 2018
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Semi Ajayi kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.