Sauti Sol

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sauti Sol

Maelezo ya awali
Asili yake Nairobi, Kenya
Tovuti sauti-sol.com
Wanachama wa sasa
  • Bien-Aimé Baraza
  • Willis Chimano
  • Savara Mudigi
  • Polycarp Otieno


Sauti Sol ni bendi ya afro-pop ya Kenya iliyoanzishwa mjini Nairobi, [1] Kenya, na waimbaji Bien-Aimé Baraza, Willis Chimano na Savara Mudigi mwaka wa 2005. [2] [3] [4] Hapo awali kilikua kikundi cha cappella, mpiga gitaa Polycarp Otieno alijiunga kabla ya kujiita Sauti Sol. [5]

Washiriki wa bendi[hariri | hariri chanzo]

  • Bien-Aimé Baraza – Mtunzi wa nyimbo, Gitaa, Piano
  • Willis Chimano – Mwimbaji, Mwigizaji, mpiga Keytar
  • Savara Mudigi - Mwimbaji, Mtayarishaji, ngoma, gitaa la Bass
  • Polycarp Otieno – Mpiga Gitaa, Mtayarishaji, Mtunzi, Mpiga Gitaa

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Mdundo: Sauti Sol Autobiography, Who is Sauti Sol? and Where is Sauti Sol from
  2. "Sauti Sol". mdundo.com. Iliwekwa mnamo 3 August 2014.  Check date values in: |accessdate= (help)
  3. Minda Magero (9 September 2012). "Sauti Sol, Kenyan Afro-fusion Band". Africa on the Blog. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2016-01-29. Iliwekwa mnamo 3 August 2014.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  4. "Penya Africa | Sauti Sol". Penya Africa. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 30 January 2016. Iliwekwa mnamo 23 January 2016.  Check date values in: |archivedate=, |accessdate= (help)
  5. "Sauti Sol: Refreshing Kenyan music now available to the world". Rafiki Kenya. 1 August 2009. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 11 October 2014. Iliwekwa mnamo 3 August 2014.  Check date values in: |date=, |archivedate=, |accessdate= (help)
Makala hii kuhusu mambo ya muziki bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Sauti Sol kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.