Sauti Sol
Sauti Sol | |
---|---|
![]() | |
Maelezo ya awali | |
Asili yake | Nairobi, Kenya |
Tovuti | sauti-sol.com |
Wanachama wa sasa | |
|
Sauti Sol ni bendi ya afro-pop ya Kenya iliyoanzishwa mjini Nairobi, [1] Kenya, na waimbaji Bien-Aimé Baraza, Willis Chimano na Savara Mudigi mwaka wa 2005. [2] [3] [4] Hapo awali kilikua kikundi cha cappella, mpiga gitaa Polycarp Otieno alijiunga kabla ya kujiita Sauti Sol. [5]
Washiriki wa bendi[hariri | hariri chanzo]
- Bien-Aimé Baraza – Mtunzi wa nyimbo, Gitaa, Piano
- Willis Chimano – Mwimbaji, Mwigizaji, mpiga Keytar
- Savara Mudigi - Mwimbaji, Mtayarishaji, ngoma, gitaa la Bass
- Polycarp Otieno – Mpiga Gitaa, Mtayarishaji, Mtunzi, Mpiga Gitaa
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Mdundo: Sauti Sol Autobiography, Who is Sauti Sol? and Where is Sauti Sol from
- ↑ Sauti Sol. mdundo.com. Iliwekwa mnamo 3 August 2014.
- ↑ Minda Magero (9 September 2012). Sauti Sol, Kenyan Afro-fusion Band. Africa on the Blog. Jalada kutoka ya awali juu ya 2016-01-29. Iliwekwa mnamo 3 August 2014.
- ↑ Penya Africa | Sauti Sol. Penya Africa. Jalada kutoka ya awali juu ya 30 January 2016. Iliwekwa mnamo 23 January 2016.
- ↑ Sauti Sol: Refreshing Kenyan music now available to the world. Rafiki Kenya (1 August 2009). Jalada kutoka ya awali juu ya 11 October 2014. Iliwekwa mnamo 3 August 2014.
![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya muziki bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Sauti Sol kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |