Sardi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Sardi (kwa Kilidia: 𐤳𐤱𐤠𐤭, Sfar; kwa Kigiriki Σάρδεις, Sárdeis) ulikuwa mji kwa walau miaka 3,500[1], maarufu hasa kama mji mkuu wa Dola la Lidia.

Baadaye ukawa mji mkuu wa mkoa wa Lydia chini ya Waajemi[1](pp1120–1122)[2], tena mji muhimu wa ustaarabu wa Kigiriki na wa Kibizanti.

Tangu karne ya 1 kulikuwa na jumuia ya Kikristo iliyoandikiwa barua katika kitabu cha Ufunuo (3:1-6).

Baada ya kuangamizwa na Timur mwaka 1402, yamebaki maghofu tu katika nchi ya Uturuki, mkoa wa Manisa karibu na mji wa Sart.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. 1.0 1.1 Greenewalt, Crawford (2011). "Sardis: A First Millenium B.C.E. Capital In Western Anatolia". The Oxford Handbook of Ancient Anatolia. Oxford University Press. doi:10.1093/oxfordhb/9780195376142.013.0052 .
  2. Greenwalt, Crawford (2010). "Introduction". The Lydians and Their World. https://sardisexpedition.org/en/essays/latw-greenewalt-introduction.
Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Sardi kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.