Gofu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kuhusu mchezo angalia Gofu (michezo)

Magofu ya msikiti huko Gedi, Kenya.

Gofu (pia ghofu; kutoka Kiarabu قف quff) ni namna ya kumtaja mtu au kitu kisicho katika hali zuri, kama mtu aliyekonda mno.[1]

Mara nyingi magofu yanataja sehemu ambako mabaki ya majengo ya zamani yanaonekana, kama vile magofu ya Gedi, magofu ya Kilwa Kisiwani.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Zamani ilitumiwa sana kwa watu ling. Sacleux 1939: Gofu (G. gondofu). ma-. Personne ou bête vieille et décharnée, n'ayant que la peau sur les os, émaciée et bonne à rien; vieille çarcasse Nyumba g., maison (case) en ruines, abandonnée.; Krapf 1882: Gofu, adv. desolate, gofu la niumba the ruins of a house