Sara Sidner

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sara Sidner
Amezaliwa 31 Mei 1972
Marekani
Kazi yake mwandishi wa habari
Elimu University of Florida


Sara Sidner (alizaliwa Mei 31, 1972) ni mwandishi wa habari nchini Marekani. Mwandishi wa kimataifa CNN katika ofisi ya CNN huko Los Angeles.[1][2]

Kazi[hariri | hariri chanzo]

Sidner alianza kazi yake ya kuripoti habari katika WUFT TV huko Gainesville, Florida. Hii ilifuatiwa na kipindi katika KFVS-TV huko Cape Girardeau, Missouri, WINK-TV katika Fort Myers,la Florida, na KDFW-TV huko Dallas, Texas. Katika KDFW, alitumikia miaka mitatu kama mwandishi. Mnamo Januari 2004, Sidner alijiunga na KTVU, Oakland, California ambapo alifanya kazi katika vipindi vya mwaisho wa wiki katika chaneli ya KTVU katika kipindi cha habari za saa 6 na saa 10:00. Pia aliwahi kuwa mwandishi wa siku ya wiki kwa kituo hicho.

Tuzo[hariri | hariri chanzo]

Sidner amepata tuzo mbalimbali kama mwandishi bora wa habari. Tuzo hizo ni pamoja na Emmy Award, Lone Star Award, na Associated Press Awards.

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Anchors & Reporters: Sara Sidner. CNN. “Sara Sidner is CNN's multiple award winning, Jerusalem-based international correspondent and is responsible for the network’s coverage of India and South Asia.”
  2. CNN Profiles - Sara Sidner.
Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Sara Sidner kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

;