Samuel Agba

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Samuel Agba (alizaliwa 12 Juni 1986) ni mchezaji wa zamani wa kulipwa wa Nigeria ambaye alicheza kama kiungo.

Kazi[hariri | hariri chanzo]

Agba alianza taaluma yake huko Denmark akiwa na klabu ya Akademisk Boldklub, baada ya kujiunga na klabu ya Entente Lomé ya Togo, ambako alijulikana kwa jina la Amindi Kalu.[1]

Mtindo aliocheza[hariri | hariri chanzo]

Samuel ni Mchezaji anayetumia mguu wa kushoto mara nyingi, Agba ametajwa kuwa na ujuzi wa kiufundi na mwenye nguvu za kimwili, na kiwango cha juu cha kazi, ambaye aliweza kutumikia nafasi kadhaa.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Jeg er Samuel Agba", Jyllands-Posten, 3 April 2006. (da) 
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Samuel Agba kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.