Nenda kwa yaliyomo

Sally Barsosio

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Sally Barsosio (alizaliwa 21 Machi 1978 katika Wilaya ya Keiyo) ni mkimbiaji wa masafa nchini Kenya. Kufikia mwaka 2015, Barsosio ndiye mshindi wa medali mwenye umri mdogo zaidi kuwahi kushinda katika Mashindano ya Dunia ya Wanariadha wa Vijana, akiwa na umri wa miaka 14 na siku 182.[1][2]

  1. "Sally Barsosio".
  2. Youngest Champions and Medallists. IAAF (archived). Retrieved 2015-08-16.
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Sally Barsosio kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.