Nenda kwa yaliyomo

Sakura, Tochigi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mahali pa Sakura katika mkoa wa Tochigi

Sakura (さくら市, Sakura-shi) ni mji wa Japani katika mkoa wa Tochigi. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2010, mji una wakazi wapatao 44,000 wanaoishi katika mji huu. Eneo lake ni 125.4 km².

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]


Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Japani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Sakura, Tochigi kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.