Roman Bunka

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Roman Bunka

Roman Bunka (amezaliwa 2 Desemba 1951, Frankfurt) ni mpiga gitaa na mtunzi wa nchini Ujerumani. Anajulikana kwa kazi zake akiwa na Fathy Salama, Mal Waldron, Dissidenten, Trilok Gurtu, Charlie Mariano, Mohamed Mounir na Malachi Favors. Bunka anaishi katika mji wa Munich.

Tuzo[hariri | hariri chanzo]

  • 1993 BBC Prix Futura for Tunguska Guska
  • 1995 German Critics Poll Winner for Color me Cairo with Malachi Favors

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Roman Bunka kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.