Robert Frost

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Robert Frost, 1941

Robert Frost (26 Machi 187429 Januari 1963) alikuwa mshairi kutoka nchi ya Marekani. Alipokea Tuzo ya Pulitzer ya Ushairi mara nne: 1924, 1931, 1937, na 1943.

Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Robert Frost kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.