Rajkot

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Rajkot ni jiji la jimbo la Gujarat nchini Uhindi lenye wakazi milioni 1.3 (2011). Ni mji mkubwa wa ishirini na nane nchini Uhindi.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Uhindi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Rajkot kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.