Pupa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Pupa za mbawakawa aina ya 'Cetonia aurata.
Pupa ya mbu. Tofauti na pupa wengine, puoa za mbu wanaweza kuogelea kwenye maji.

Pupa ni hatua ya maisha ya baadhi ya wadudu wanaopitia mabadiliko kati ya hatua za kukomaa na ukomavu wake. Katika mabadiliko ya maumbile au metamofosisi wadudu hao wanapitia hatua nne ambapo wanaonekana tofauti kabisa ambazo ni lava, pupa, na mdudu kamili (kwa lugha ya kitaalamu imago).[1]

Mabadiliko hayo yote yanadhibitiwa na homoni mbalimbali.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Borror, D. J.; DeLong, Dwight M.; Triplehorn, Charles A. (2004). Introduction to the Study of Insects (Sixth ed.). New York: Holt, Rinehart & Winston. ISBN 0-03-096835-6.
Makala hii kuhusu mambo ya biolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Pupa kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.