Priscus Tarimo
Mandhari
| Mbunge wa Moshi Mjini Novemba 2020 – | |
| Jimbo la uchaguzi | Moshi Mjini |
| Mahali pa kuzaliwa | Rombo, Mkoa wa Kilimanjaro |
| Chama | Chama Cha Mapinduzi |
| Alingia ofisini | 2021 |
| Alitanguliwa na | Michael Mmari |
| Dini | Mkristo Mkatoliki |
| Kazi | mfanyabiashara, mwanasiasa |
Priscus Jacob Tarimo (alizaliwa mkoani Kilimanjaro) ni mfanyabiashara na mwanasiasa Mtanzania ambaye alikuwa Diwani wa Kata ya Kilimanjaro na sasa anahudumu kama Mbunge wa Chama Cha Mapinduzi jimbo la Moshi Mjini tangu Novemba 2020.[1] [2]Pia ni mjumbe wa bodi ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mjini Moshi Mjini (MUSWA).[3]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "Priscus Tarimo", Wikipedia (kwa Kiingereza), 2021-02-21, iliwekwa mnamo 2021-06-20
- ↑ "Priscus Tarimo", Wikipedia (kwa Kiingereza), 2021-02-21, iliwekwa mnamo 2021-06-20
- ↑ "Priscus Tarimo", Wikipedia (kwa Kiingereza), 2021-02-21, iliwekwa mnamo 2021-06-20
| Makala hii kuhusu kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Priscus Tarimo kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |