Piz Palu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mlima Piz Palu

Piz Palu ni mlima wa Alpi kati ya nchi za Italia na Uswisi (Ulaya).

Urefu wake ni mita 3,905 juu ya usawa wa bahari.

Panorama[hariri | hariri chanzo]

360°Panorama

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]