Piet Botha

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Piet Botha akitumbuiza Pretoria mnamo 2015
Piet Botha akitumbuiza Pretoria mnamo 2015

Piet Botha (18 Julai, 19552 Juni, 2019) [1] alikuwa mwanamuziki wa nchini Afrika Kusini [2] na mwimbaji mkuu wa bendi ya muziki ya rock Jack Hammer ya Afrika Kusini (ambamo alijulikana kama "The Hammer"), [3]

Wasifu[hariri | hariri chanzo]

Alikuwa mtoto wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini Pik Botha (1932-2018) na mjomba wa Roelof Botha, CFO wa zamani wa PayPal .

Botha alikwenda Marekani mwaka 1985 kufanya kazi, lakini alirejea Afrika Kusini mwaka uliofuata.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Piet Botha kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.