Pfizer
Mandhari

Pfizer Inc. (inatamkwa /ˈfaɪzər/)[1] ni kampuni ya madawa ya Marekani yenye makao makuu New York City na makao makuu ya utafiti Groton, Connecticut.
Pfizer ni kati ya kampuni kubwa za dawa duniani.[2] Imeorodheshwa katika Soko la Hisa la New York.
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Wells, John C. (2008), Longman Pronunciation Dictionary (tol. la 3rd), Longman, ISBN 9781405881180
- ↑ "Pfizer moves higher amid persistent breakup talk". Bloomberg Businessweek. 27 Machi 2012. Iliwekwa mnamo 8 Julai 2012.
{{cite news}}
: CS1 maint: date auto-translated (link)
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya uchumi bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Pfizer kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |