Pernilla Larsson
Pernilla Larsson (alizaliwa 18 Septemba, 1976) ni mwamuzi wa mpira wa miguu kutoka nchini Uswidi.
Amekuwa kwenye Orodha ya FIFA ya waamuzi wanawake wa kimataifa tangu mwaka 2010. [1] Alichaguliwa na FIFA kuchezesha mashindano ya Kombe la Dunia la FIFA la Wanawake mwaka 2015. [2] [3]
Mnamo 2014, alikua mwamuzi bora mwanamke wa Shirikisho la Soka na Takwimu Duniani (IFFHS). [4] Pia Larsson alitajwa kuwa mwamuzi mwanamke wa mwaka wa Uswidi katika Fotbollsgalan mwaka 2014. [5] Mwaka huo huo, aliwahi kuwa mwamuzi katika Kombe la Dunia la FIFA la Wanawake chini ya miaka 17 mwaka 2014. [6]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ "Pernilla Larsson". FIFA. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo March 29, 2014. Iliwekwa mnamo 19 May 2015. Check date values in:
|archivedate=, |accessdate=
(help) - ↑ "22 referees, 7 support referees and 44 assistant referees appointed for FIFA Women’s World Cup 2015™". FIFA.com. 30 March 2015. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo March 31, 2015. Check date values in:
|date=, |archivedate=
(help) - ↑ "Referees and Assistant Referees for the FIFA Women’s World Cup Canada 2015™". FIFA.com. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo April 2, 2015. Check date values in:
|archivedate=
(help) - ↑ "THE WORLD’S BEST WOMAN REFEREE 2014". International Federation of Football History & Statistics. 6 January 2015. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 8 April 2015. Iliwekwa mnamo 18 April 2015. Check date values in:
|date=, |archivedate=, |accessdate=
(help) - ↑ "Titta, här vinner Zlatan sin nionde guldboll", Expressen, 10 November 2014. Retrieved on 19 May 2015. (Swedish)
- ↑ "Referees". FIFA. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo March 29, 2014. Iliwekwa mnamo 13 March 2017. Check date values in:
|archivedate=, |accessdate=
(help)
{{Mbegu-mtu