Pernilla Larsson

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Pernilla Larsson mnamo 2012

Pernilla Larsson (alizaliwa 18 Septemba, 1976) ni mwamuzi wa mpira wa miguu kutoka nchini Uswidi.

Amekuwa kwenye Orodha ya FIFA ya waamuzi wanawake wa kimataifa tangu mwaka 2010. [1] Alichaguliwa na FIFA kuchezesha mashindano ya Kombe la Dunia la FIFA la Wanawake mwaka 2015. [2] [3]

Mnamo 2014, alikua mwamuzi bora mwanamke wa Shirikisho la Soka na Takwimu Duniani (IFFHS). [4] Pia Larsson alitajwa kuwa mwamuzi mwanamke wa mwaka wa Uswidi katika Fotbollsgalan mwaka 2014. [5] Mwaka huo huo, aliwahi kuwa mwamuzi katika Kombe la Dunia la FIFA la Wanawake chini ya miaka 17 mwaka 2014. [6]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Pernilla Larsson". FIFA. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo March 29, 2014. Iliwekwa mnamo 19 May 2015.  Check date values in: |archivedate=, |accessdate= (help)
  2. "22 referees, 7 support referees and 44 assistant referees appointed for FIFA Women’s World Cup 2015™". FIFA.com. 30 March 2015. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo March 31, 2015.  Check date values in: |date=, |archivedate= (help)
  3. "Referees and Assistant Referees for the FIFA Women’s World Cup Canada 2015™". FIFA.com. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo April 2, 2015.  Check date values in: |archivedate= (help)
  4. "THE WORLD’S BEST WOMAN REFEREE 2014". International Federation of Football History & Statistics. 6 January 2015. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 8 April 2015. Iliwekwa mnamo 18 April 2015.  Check date values in: |date=, |archivedate=, |accessdate= (help)
  5. "Titta, här vinner Zlatan sin nionde guldboll", Expressen, 10 November 2014. Retrieved on 19 May 2015. (Swedish) 
  6. "Referees". FIFA. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo March 29, 2014. Iliwekwa mnamo 13 March 2017.  Check date values in: |archivedate=, |accessdate= (help)

{{Mbegu-mtu