Nenda kwa yaliyomo

Patrick Raphael

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Patrick Raphael ni gavana wa jimbo la Gbudwe, katika nchi ya Sudani Kusini, tangu tarehe 24 Disemba 2015.[1] Ni gavana wa kwanza katika jimbo hilo ambalo liliteuliwa kuwa jimbo na rais Salva Kiir Mayardit mnamo tarehe 2 Oktoba 2015.[2]

  1. "South Sudan's President appoints 28 Governors, defies peace agreement". South Sudan News Agency. 24 Desemba 2015. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2 Februari 2016.{{cite news}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. "Kiir and Makuei want 28 states in South Sudan". Radio Tamazuj. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2015-12-08.
Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Patrick Raphael kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.