Pakia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Nembo ya pakia.
Nembo ya pakia.

Katika utarakilishi, pakia (kwa Kiingereza: upload) ni mchakato wa upelekaji wa data mpaka mfumo masafa, kama seva kwa mfano, ili mfumo masafa uitunze data hizo.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1)