Pakia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Nembo ya pakia.
Nembo ya pakia.

Katika utarakilishi, pakia (kwa Kiingereza: upload) ni mchakato wa upelekaji wa data mpaka mfumo masafa, kama seva kwa mfano, ili mfumo masafa uitunze data hizo.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1)
Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.