Oksana Shachko

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Oksana Shachko

Koksana Shuchko (alizaliwa 31 Januari 1987 - 23 Julai 2018) alikuwa msanii na mwanaharakati wa nchini Ukraine. Akiwa pamoja na Anna Hutsol na Alexandra Shevchenko, waliazisha kikundi cha kutetea haki za wanawake cha Femen, na kujionyesha hadharani kwa ajili ya kutetea kuhusu unyanyasaji wa kingono, ukosefu wa usawa na sera za Kanisa Katoliki.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "A MEETING WITH OKSANA SHACHKO - CRASH Magazine", CRASH Magazine, 25 July 2018. (en-US) 
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Oksana Shachko kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.