Nenda kwa yaliyomo

Ogani

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Ogani ni sehemu ya mwili au mmea inayofanya kazi fulani ya pekee.

Ogani huundwa na seli maalumu zilizopo kwa ajili ya kufanya kazi hiyo maalumu ya ogani husika.

Mifano ya ogani za binadamu (pamoja na wanyama wengi kwa jumla) ni moyo, mapafu, ini na kadhalika.

Ogani za binadamu

[hariri | hariri chanzo]

Idadi zinatajwa kwa binadamu mwenye umri wa miaka 20-30, urefu wa sentimita 170, uzani wa kilogramu 70.

Sehemu ya mwiliuzitoasilimia ya masi ya mwili
Musuli30,0 kg43,0 %
Kiunzi cha mifupa bila uboho7,0 kg10,0 %
Ngozi6,1 kg8,7 %
Damu5,4 kg7,7 %
Mfumo wa mmeng'enyo wa chakula2,0 kg2,9 %
Ini1,7 kg2,4 %
Uboho1,5 kg2,1 %
Ubongo1,3 kg1,8 %
Mapafu1,0 kg1,4 %
Moyo0,3 kg0,43 %
Mafigo0,3 kg0,43 %
Tezi la koromeo0,02 kg0,03 %
Wengu0,18 kg0,26 %
Jumla70 kg100 %
Makala hii kuhusu mambo ya biolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ogani kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.